Yer. 25:33 Swahili Union Version (SUV)

Na waliouawa na BWANA siku ile watakuwapo, toka upande mmoja wa dunia hata upande wa pili; hawataliliwa, wala kukusanywa, wala kuzikwa; watakuwa samadi juu ya uso wa nchi.

Yer. 25

Yer. 25:27-38