Yer. 24:9 Swahili Union Version (SUV)

Naam, nitawatoa watupwe huko na huko katika falme zote za dunia, wapate mabaya; wawe kitu cha kulaumiwa, na mithali, na dhihaka, na laana, katika mahali pote nitakapowafukuza.

Yer. 24

Yer. 24:6-10