Yer. 23:17 Swahili Union Version (SUV)

Daima huwaambia wao wanaonidharau, BWANA amesema, Mtakuwa na amani; nao humwambia kila mtu aendaye kwa ukaidi wa moyo wake, Hamtapatwa na ubaya wo wote.

Yer. 23

Yer. 23:14-24