Yer. 21:1 Swahili Union Version (SUV)

Neno hili ndilo lililomjia Yeremia, kutoka kwa BWANA, hapo mfalme Sedekia alipompelekea Pashuri, mwana wa Malkiya, na Sefania, mwana wa Maaseya, kuhani, kusema,

Yer. 21

Yer. 21:1-7