Yer. 20:7 Swahili Union Version (SUV)

Ee BWANA, umenihadaa, nami nimehadaika; wewe una nguvu kuliko mimi, ukashinda; nimekuwa kitu cha kuchekesha, mchana kutwa; kila mtu hunidhihaki.

Yer. 20

Yer. 20:1-11