Yer. 20:1 Swahili Union Version (SUV)

Basi Pashuri, mwana wa Imeri, kuhani, aliyekuwa msimamizi mkuu katika nyumba ya BWANA, alimsikia Yeremia alipokuwa akitabiri maneno hayo.

Yer. 20

Yer. 20:1-6