Yer. 2:8 Swahili Union Version (SUV)

Makuhani hawakusema, Yuko wapi BWANA? Wala wana-sheria hawakunijua; wachungaji nao waliniasi, nao manabii walitoa unabii kwa Baali, wakafuata mambo yasiyofaidia kitu.

Yer. 2

Yer. 2:4-18