Yer. 2:31 Swahili Union Version (SUV)

Ee kizazi litazameni neno la BWANA. Je! Nimekuwa jangwa kwa Israeli? Au nchi yenye giza kuu? Mbona watu wangu wanasema, Sisi tumetoroka, hatutaki kuja kwako tena?

Yer. 2

Yer. 2:26-34