Yer. 2:18 Swahili Union Version (SUV)

Na sasa una nini utakayotenda katika njia iendayo Misri, kunywa maji ya Shihori? Au una nini utakayotenda katika njia iendayo Ashuru, kunywa maji ya ule Mto?

Yer. 2

Yer. 2:16-21