Yer. 18:13 Swahili Union Version (SUV)

Basi, kwa ajili ya hayo, BWANA asema hivi, Ulizeni sasa katika mataifa, ni nani aliyesikia habari za mambo kama hayo; bikira wa Israeli ametenda tendo lichukizalo sana.

Yer. 18

Yer. 18:5-20