Yer. 17:13 Swahili Union Version (SUV)

Ee BWANA, tumaini la Israeli, wote wakuachao watatahayarika. Wao watakaojitenga nami wataandikwa katika mchanga, kwa sababu wamemwacha BWANA, kisima cha maji yaliyo hai.

Yer. 17

Yer. 17:10-20