Yer. 15:4 Swahili Union Version (SUV)

Nami nitawafanya kuwa kitu cha kutisha katika falme zote za duniani, kwa sababu ya Manase, mwana wa Hezekia mfalme wa Yuda, kwa sababu ya mambo aliyoyatenda katika Yerusalemu.

Yer. 15

Yer. 15:1-8