Yer. 15:16 Swahili Union Version (SUV)

Maneno yako yalionekana, nami nikayala; na maneno yako yalikuwa ni furaha kwangu, na shangwe ya moyo wangu; maana nimeitwa kwa jina lako, Ee BWANA, Mungu wa majeshi.

Yer. 15

Yer. 15:9-19