Yer. 13:7 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo nikaenda mpaka mto Frati, nikachimba, nikautwaa ule mshipi katika mahali pale nilipouficha; na tazama, mshipi ulikuwa umeharibika, haukufaa tena kwa lo lote.

Yer. 13

Yer. 13:6-9