Yer. 13:1-2 Swahili Union Version (SUV)

1. BWANA akaniambia hivi, Enenda, ukajinunulie mshipi wa kitani, ukajivike viuno, wala usiutie majini.

2. Basi nikanunua mshipi sawasawa na neno la BWANA, nikajivika viunoni.

Yer. 13