Yer. 12:6 Swahili Union Version (SUV)

Kwa maana hata ndugu zako, na nyumba ya baba yako, wamekutenda mambo ya hila; naam, wamepiga kelele nyuma yako; usiwasadiki, wajapokuambia maneno mazuri.

Yer. 12

Yer. 12:1-7