Yer. 11:21 Swahili Union Version (SUV)

Basi, kwa hiyo, BWANA asema hivi, juu ya watu wa Anathothi, watakao uhai wako, wakisema, Hutafanya unabii kwa jina la BWANA, usije ukafa kwa mkono wetu.

Yer. 11

Yer. 11:19-23