Yer. 10:20 Swahili Union Version (SUV)

Hema yangu umetekwa nyara, kamba zangu zote zimekatika; watoto wangu wameniacha na kwenda zao, pia hawako. Hapana mtu atakayenitandikia tena hema yangu, na kuyatundika mapazia yangu.

Yer. 10

Yer. 10:18-25