Yer. 10:1-2 Swahili Union Version (SUV)

1. Enyi nyumba ya Israeli, lisikieni neno awaambialo BWANA;

2. BWANA asema hivi, Msijifunze njia ya mataifa, wala msishangae kwa sababu ya ishara za mbinguni; maana mataifa hushangaa kwa sababu ya ishara hizo.

Yer. 10