Yer. 1:16 Swahili Union Version (SUV)

Nami nitatamka hukumu zangu juu yao kwa habari ya uovu wao wote; kwa kuwa wameniacha mimi, wakaifukizia uvumba miungu mingine, wakaziabudu kazi za mikono yao wenyewe.

Yer. 1

Yer. 1:9-19