Yak. 3:2 Swahili Union Version (SUV)

Maana twajikwaa sisi sote pia katika mambo mengi. Mtu asiyejikwaa katika kunena, huyo ni mtu mkamilifu, awezaye kuuzuia na mwili wake wote kama kwa lijamu.

Yak. 3

Yak. 3:1-12