Tit. 2:5-7 Swahili Union Version (SUV)

5. na kuwa wenye kiasi, kuwa safi, kufanya kazi nyumbani mwao, kuwa wema, kuwatii waume zao wenyewe; ili neno la Mungu lisitukanwe.

6. Vivyo hivyo na vijana waume uwaonye kuwa na kiasi;

7. katika mambo yote ukijionyesha wewe mwenyewe kuwa kielelezo cha matendo mema, na katika mafundisho yako ukionyesha usahihi na ustahivu,

Tit. 2