Sef. 3:11 Swahili Union Version (SUV)

Siku ile hutatahayarikia matendo yako yote uliyoniasi; maana hapo nitawaondoa watu wako wanaotakabari na kujivuna, wasiwe kati yako, wala hutatakabari tena katika mlima wangu mtakatifu.

Sef. 3

Sef. 3:6-20