Rut. 1:6 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo alipoondoka, yeye na wakweze, ili kurudi kutoka nchi ya Moabu; maana huko katika nchi ya Moabu amesikia ya kwamba BWANA amewajilia watu wake na kuwapa chakula.

Rut. 1

Rut. 1:1-11