Rum. 9:14-16 Swahili Union Version (SUV)

14. Tuseme nini basi? Kuna udhalimu kwa Mungu? Hasha!

15. Maana amwambia Musa, Nitamrehemu yeye nimrehemuye, nitamhurumia yeye nimhurumiaye.

16. Basi, kama ni hivyo, si katika uwezo wa yule atakaye, wala wa yule apigaye mbio; bali wa yule arehemuye, yaani, Mungu.

Rum. 9