Rum. 7:24-25 Swahili Union Version (SUV)

24. Ole wangu, maskini mimi! Ni nani atakayeniokoa na mwili huu wa mauti?

25. Namshukuru Mungu, kwa Yesu Kristo Bwana wetu. Basi, kama ni hivyo, mimi mwenyewe kwa akili zangu naitumikia sheria ya Mungu, bali kwa mwili wangu sheria ya dhambi.

Rum. 7