Rum. 4:9 Swahili Union Version (SUV)

Basi je! Uheri huo ni kwa hao waliotahiriwa, au kwa hao pia wasiotahiriwa? Kwa kuwa twanena ya kwamba kwake Ibrahimu imani yake ilihesabiwa kuwa ni haki.

Rum. 4

Rum. 4:5-15