Rum. 3:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Basi Myahudi ana ziada gani? Na kutahiriwa kwafaa nini?

2. Kwafaa sana kwa kila njia. Kwanza kwa kuwa wamekabidhiwa mausia ya Mungu.

3. Ni nini, basi, ikiwa baadhi yao hawakuamini? Je! Kutokuamini kwao kutaubatili uaminifu wa Mungu?

Rum. 3