1. Yeye aliye dhaifu wa imani, mkaribisheni, walakini msimhukumu mawazo yake.
2. Mtu mmoja anayo imani, anakula vyote; lakini yeye aliye dhaifu hula mboga.
3. Yeye alaye asimdharau huyo asiyekula, wala yeye asiyekula asimhukumu huyo alaye; kwa maana Mungu amemkubali.