Rum. 13:9 Swahili Union Version (SUV)

Maana kule kusema, Usizini, Usiue, Usiibe, Usitamani; na ikiwapo amri nyingine yo yote, inajumlishwa katika neno hili, ya kwamba, Mpende jirani yako kama nafsi yako.

Rum. 13

Rum. 13:1-14