Rum. 12:20-21 Swahili Union Version (SUV)

20. Lakini, Adui yako akiwa na njaa, mlishe; akiwa na kiu, mnyweshe; maana ufanyapo hivyo, utampalia makaa ya moto kichwani pake.

21. Usishindwe na ubaya, bali uushinde ubaya kwa wema.

Rum. 12