16. Mpatane nia zenu ninyi kwa ninyi. Msinie yaliyo makuu, lakini mkubali kushughulishwa na mambo manyonge. Msiwe watu wa kujivunia akili.
17. Msimlipe mtu ovu kwa ovu. Angalieni yaliyo mema machoni pa watu wote.
18. Kama yamkini, kwa upande wenu, mkae katika amani na watu wote.