Rum. 1:21 Swahili Union Version (SUV)

kwa sababu, walipomjua Mungu hawakumtukuza kama ndiye Mungu wala kumshukuru; bali walipotea katika uzushi wao, na mioyo yao yenye ujinga ikatiwa giza.

Rum. 1

Rum. 1:11-29