Omb. 3:45-51 Swahili Union Version (SUV)

45. Umetufanya kuwa takataka, na vifusiKatikati ya mataifa.

46. Juu yetu adui zetu woteWametupanulia vinywa vyao.

47. Hofu imetujilia na shimo,Ukiwa na uharibifu.

48. Jicho langu lachuruzika mito ya majiKwa ajili ya uvunjifu wa binti ya watu wangu.

49. Jicho langu latoka machozi lisikome,Wala haliachi;

50. Hata BWANA atakapoangaliaNa kutazama toka mbinguni.

51. Jicho langu lanitia huzuni nafsini mwangu,Kwa sababu ya binti zote za mji wangu.

Omb. 3