Omb. 3:44-49 Swahili Union Version (SUV)

44. Umejifunika nafsi yako kwa wingu,Maombi yetu yasipite.

45. Umetufanya kuwa takataka, na vifusiKatikati ya mataifa.

46. Juu yetu adui zetu woteWametupanulia vinywa vyao.

47. Hofu imetujilia na shimo,Ukiwa na uharibifu.

48. Jicho langu lachuruzika mito ya majiKwa ajili ya uvunjifu wa binti ya watu wangu.

49. Jicho langu latoka machozi lisikome,Wala haliachi;

Omb. 3