Omb. 3:30-32 Swahili Union Version (SUV)

30. Na amwelekezee yule ampigaye shavu lake;Ashibishwe mashutumu.

31. Kwa kuwa Bwana hatamtupa mtuHata milele.

32. Maana ajapomhuzunisha atamrehemu,Kwa kadiri ya wingi wa huruma zake.

Omb. 3