26. Ni vema mtu autarajie wokovu wa BWANANa kumngojea kwa utulivu.
27. Ni vema mwanadamu aichukue niraWakati wa ujana wake.
28. Na akae peke yake na kunyamaza kimya;Kwa sababu Bwana ameweka hayo juu yake.
29. Na atie kinywa chake mavumbini;Ikiwa yamkini liko tumaini.
30. Na amwelekezee yule ampigaye shavu lake;Ashibishwe mashutumu.