Omb. 2:4 Swahili Union Version (SUV)

Ameupinda upinde wake kama adui,Amesimama na mkono wake wa kuume kama mtesi;Naye amewaua hao woteWaliopendeza macho;Katika hema ya binti SayuniAmemimina kani yake kama moto.

Omb. 2

Omb. 2:1-9