Omb. 1:18 Swahili Union Version (SUV)

BWANA ndiye mwenye haki;Maana nimeiasi amri yake;Sikieni, nawasihi, enyi watu wote,Mkayatazame majonzi yangu;Wasichana wangu na wavulana wanguWamechukuliwa mateka.

Omb. 1

Omb. 1:11-22