Oba. 1:2-4 Swahili Union Version (SUV)

2. Tazama, nimekufanya mdogo kati ya mataifa;Umedharauliwa sana.

3. Kiburi cha moyo wako kimekudanganya,Wewe ukaaye katika pango za majabali,Mwenye makao yako juu sana;Asemaye moyoni, Ni nani atakayenishusha mimi?

4. Ujapopanda juu kama tai,Ijapokuwa kioto chako kimewekwa kati ya nyota,Nitakushusha kutoka huko; asema BWANA.

Oba. 1