Oba. 1:19 Swahili Union Version (SUV)

Na watu wa Negebu wataumiliki mlima wa Esau; na watu wa Shefela watawamiliki Wafilisti; nao watalimiliki konde la Efraimu, na konde la Samaria, na Benyamini atamiliki Gileadi.

Oba. 1

Oba. 1:11-21