Oba. 1:13 Swahili Union Version (SUV)

Usiingie katika lango la watu wangu, siku ya msiba wao; naam, usiyatazame mateso yao, siku ya msiba wao; wala usitie mikono yako juu ya mali zao, siku ya msiba wao.

Oba. 1

Oba. 1:9-21