Neh. 8:13 Swahili Union Version (SUV)

Hata siku ya pili wakuu wa mbari za mababa za watu wote, na makuhani, na Walawi, wakamkusanyikia Ezra, mwandishi, ili wapate kuyasikiliza maneno ya torati.

Neh. 8

Neh. 8:10-18