46. Wanethini; wana wa Siha, wana wa Hasufa, wana wa Tabaothi;
47. wana wa Kerosi, wana wa Siaha, wana wa Padoni;
48. wana wa Lebana, wana wa Hagaba, wana wa Salmai;
49. wana wa Hanani, wana wa Gideli, wana wa Gahari;
50. wana wa Reaya, wana wa Resini, wana wa Nekoda;
51. wana wa Gazamu, wana wa Uza, wana wa Pasea;
52. wana wa Besai wana wa Meunimu, wana wa Nefusimu;
53. wana wa Bakbuki, wana wa Hakufa, wana wa Harhuri;
54. wana wa Basluthi, wana wa Mehida, wana wa Harsha;
55. wana wa Barkosi, wana wa Sisera, wana wa Tema;
56. wana wa Nesia, wana wa Hatifa.
57. Akina watumwa wa Sulemani; Wana wa Sotai, wana wa Soferethi, wana wa Peruda;
58. wana wa Yaala, wana wa Darkoni, wana wa Gideli;
59. wana wa Shefatia, wana wa Hatili, wana wa Pokereth-Sebaimu, wana wa Amoni.
60. Wanethini wote, pamoja na akina watumwa wa Sulemani, walikuwa mia tatu tisini na wawili.
61. Na hawa ndio watu waliokwea kutoka Tel-mela, na Tel-harsha, na Kerubu, na Adani, na Imeri; walakini hawakuweza kuonyesha mbari za baba zao, wala kizazi chao, kwamba walikuwa wa Israeli;
62. Wana wa Delaya, wana wa Tobia, wana wa Nekoda, mia sita na arobaini na wawili.