Neh. 7:46-62 Swahili Union Version (SUV)

46. Wanethini; wana wa Siha, wana wa Hasufa, wana wa Tabaothi;

47. wana wa Kerosi, wana wa Siaha, wana wa Padoni;

48. wana wa Lebana, wana wa Hagaba, wana wa Salmai;

49. wana wa Hanani, wana wa Gideli, wana wa Gahari;

50. wana wa Reaya, wana wa Resini, wana wa Nekoda;

51. wana wa Gazamu, wana wa Uza, wana wa Pasea;

52. wana wa Besai wana wa Meunimu, wana wa Nefusimu;

53. wana wa Bakbuki, wana wa Hakufa, wana wa Harhuri;

54. wana wa Basluthi, wana wa Mehida, wana wa Harsha;

55. wana wa Barkosi, wana wa Sisera, wana wa Tema;

56. wana wa Nesia, wana wa Hatifa.

57. Akina watumwa wa Sulemani; Wana wa Sotai, wana wa Soferethi, wana wa Peruda;

58. wana wa Yaala, wana wa Darkoni, wana wa Gideli;

59. wana wa Shefatia, wana wa Hatili, wana wa Pokereth-Sebaimu, wana wa Amoni.

60. Wanethini wote, pamoja na akina watumwa wa Sulemani, walikuwa mia tatu tisini na wawili.

61. Na hawa ndio watu waliokwea kutoka Tel-mela, na Tel-harsha, na Kerubu, na Adani, na Imeri; walakini hawakuweza kuonyesha mbari za baba zao, wala kizazi chao, kwamba walikuwa wa Israeli;

62. Wana wa Delaya, wana wa Tobia, wana wa Nekoda, mia sita na arobaini na wawili.

Neh. 7