41. Wana wa Pashuri, elfu moja mia mbili arobaini na saba.
42. Wana wa Harimu, elfu moja na kumi na saba.
43. Walawi; Wana wa Yeshua, wa Kadmieli wa wana wa Hodavia, sabini na wanne.
44. Waimbaji; Wana wa Asafu, mia moja arobaini na wanane.
45. Mabawabu; Wana wa Shalumu, wana wa Ateri, wana wa Talmoni, wana wa Akubu, wana wa Hatita, wana wa Shobai, mia moja thelathini na wanane.
46. Wanethini; wana wa Siha, wana wa Hasufa, wana wa Tabaothi;
47. wana wa Kerosi, wana wa Siaha, wana wa Padoni;
48. wana wa Lebana, wana wa Hagaba, wana wa Salmai;
49. wana wa Hanani, wana wa Gideli, wana wa Gahari;
50. wana wa Reaya, wana wa Resini, wana wa Nekoda;
51. wana wa Gazamu, wana wa Uza, wana wa Pasea;
52. wana wa Besai wana wa Meunimu, wana wa Nefusimu;
53. wana wa Bakbuki, wana wa Hakufa, wana wa Harhuri;