Neh. 3:7 Swahili Union Version (SUV)

Na baada yao wakafanyiza Melatia, Mgibeoni, na Yadoni, Mmeronothi, watu wa Gibeoni, na wa Mispa, raia wa kiti cha enzi cha liwali wa ng’ambo ya Mto.

Neh. 3

Neh. 3:2-10