Neh. 3:31 Swahili Union Version (SUV)

Baada yake akafanyiza Malkiya, mmoja wa mafundi wa dhahabu, mpaka nyumba ya Wanethini, na ya wafanya biashara, kulielekea lango la gereza, na mpaka chumba cha juu cha pembeni.

Neh. 3

Neh. 3:24-32