Neh. 2:9 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo nikafika kwa maliwali walio ng’ambo ya Mto, nikawapa hizo nyaraka za mfalme. Naye mfalme alikuwa amepeleka maakida wa jeshi lake na wapanda farasi pamoja nami.

Neh. 2

Neh. 2:8-19