Neh. 13:7 Swahili Union Version (SUV)

Nami nikaja Yerusalemu, nikafahamu yale mabaya, ambayo Eliashibu ameyatenda kwa ajili ya Tobia, kwa kumtengenezea chumba katika nyua za nyumba ya Mungu.

Neh. 13

Neh. 13:5-17