Neh. 12:36 Swahili Union Version (SUV)

na ndugu zake, Shemaya, Azareli, Milalai, Gilalai, Maai, Nethaneli, Yuda, na Hanani, wenye vinanda vya Daudi mtu wa Mungu; Ezra, mwandishi, akawatangulia;

Neh. 12

Neh. 12:26-45